Hazina-Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar

Muundo wa Ofisi

Muundo wa Ofisi ya Msajili wa Hazina ulioidhinishwa na Serikali, unaonesha uwepo wa Msajili wa Hazina ambaye ni Msimamizi Mkuu wa shughuli za kila siku za Ofisi ya Msajili wa Hazina. Muundo huo una idara tatu (3), Ofisi ya Msajili wa Hazina Pemba na vitengo vitano

MUUNDO WETU

Waheed Muhammad Ibrahim Sanya

Msajili wa Hazina

Makunga Ali Mzee

Position: member

Mashavu Adam Salum

Position: member

Khamis Masoud Salum.

Position: member

Khamis kheri Ame.

Position: member

Hamida Maalim Suleiman

Position: member

Habiba Mussa Khamis

Position: member