
Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar, inapenda kuutangazia umma kuwa, Kampuni ya Uunganishaji na Usambazaji Maudhui Zanzibar (ZMUX) imefutwa rasmi...
Hazina-Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar
Ujumbe wa Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi
“Ni vyema kila Shirika au Taasisi za uwekezaji za Umma zikajitathmini kujua changamoto wanazokabiliana nazo katika uendeshaji wa Taasisi zao na kupanga mipango ya namna ya kutatua changamoto hizo ili kuleta ufanisi mkubwa katika uendeshaji wa Mashirika ya Uwekezaji wa Umma, si vyema kubaki na changamoto ambazo zinasababisha hasara kwa shirika au Taasisi.”

Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar, inapenda kuutangazia umma kuwa, Kampuni ya Uunganishaji na Usambazaji Maudhui Zanzibar (ZMUX) imefutwa rasmi...

Naibu Gavana Mstaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Bw. Juma Hassan Reli, akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Wiki...

Serikali Yasisitiza Umuhimu wa Gawio la Mashirika ya Umma Zanzibar – Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuchukua jitihada...

Msajili wa Hazina Zanzibar, Ndugu Waheed Muhammad Ibrahim Sanya, ameongoza kikao kazi na wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina...

Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma Zanzibar, Bwana Kubingwa Mashaka Simba, amesisitiza umuhimu wa kutumia muundo wa utumishi...
















